Siku thelathini za faraja

Kenya · Kiswahili · christianity · protestant

Wiki hii · 8–14 Jun 2026

Zaburi kila siku na vifungu vya Injili kila wiki — siku thelathini za faraja.

Siku 3 · 2026-06-08

psalms/91/1

Yeye akaaye mahali pa salama pake Yeye Aliye Juu Sana, atadumu katika uvuli wake Mwenyezi.

wldeh-bible · sw-swh · source

Siku 4 · 2026-06-09

psalms/121/1

Nayainua macho yangu nitazame vilima, msaada wangu utatoka wapi?

wldeh-bible · sw-swh · source

Siku 5 · 2026-06-10

psalms/103/1

Ee nafsi yangu, umhimidi Bwana. Vyote vilivyomo ndani yangu vilihimidi jina lake takatifu.

wldeh-bible · sw-swh · source

Siku 6 · 2026-06-11

psalms/130/1

Kutoka vilindini ninakulilia, Ee Bwana.

wldeh-bible · sw-swh · source

Siku 7 · 2026-06-12

matthew/11/28

“Njooni kwangu, ninyi nyote mnaotaabika na kulemewa na mizigo, nami nitawapumzisha.

wldeh-bible · sw-swh · source

Siku 8 · 2026-06-13

psalms/34/18

Bwana yu karibu na waliovunjika moyo, na huwaokoa waliopondeka roho.

wldeh-bible · sw-swh · source

Siku 9 · 2026-06-14

psalms/46/1

Mungu kwetu sisi ni kimbilio na nguvu, msaada utakaoonekana tele wakati wa mateso.

wldeh-bible · sw-swh · source